![]() |
Katika adhabu hiyo Chama alikosa mechi mbili za Ligi Kuu dhidi ya Polisi Tanzania, Coastal Union na jana dhidi ya Singida Fountain Gate katika Ngao ya Jamii.
Rasmi sasa Chama anaweza kutumika katika mechi ya fainali Ngao ya Jamii 2023 Jumapili Agosti 13 dhidi ya Yanga itakayopigwa Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.