BURNA BOY ALIPIA GHARAMA ZA WAGONJWA HOSPITALI NZIMA
Author -
Mon media
June 12, 2024
0
Msanii maarufu kutoka Nigeria na Duniani Kwa ujumla burna boy ameonesha utu wa Hali ya juu ,kutokana na taarifa zilizotoka kuwa amelipia bili za matibabu ya wagonjwa hospitali nzima ya university of Cort horcourt teaching nchini Nigeria
Burna amefanya hivo baada ya kutembelea hospitali hiyo akiwa na mama yake mzazi ambaye pia ndio meneja wake